‏ Genesis 3:1-2

Kuanguka Kwa Mwanadamu

1 aBasi nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama wote wa porini ambao Bwana Mungu aliwafanya. Nyoka akamwambia mwanamke, “Ati kweli Mungu alisema, ‘Kamwe msile matunda ya mti wowote wa bustanini’?”

2 bMwanamke akamjibu nyoka, “Tunaweza kula matunda ya miti iliyoko bustanini,
Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.