‏ Genesis 8:6-8

6Baada ya siku arobaini Noa akafungua dirisha alilokuwa amelifanya katika safina 7 ana akamtoa kunguru, akawa akiruka kwenda na kurudi mpaka maji yalipokwisha kukauka juu ya nchi. 8 bKisha akamtoa hua ili aone kama maji yameondoka juu ya uso wa ardhi.
Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.