‏ Isaiah 40:6-8


6 aSauti husema, “Piga kelele.”
Nami nikasema, “Nipige kelele gani?”

“Wanadamu wote ni kama majani,
nao utukufu wao wote
ni kama maua ya kondeni.
7 bMajani hunyauka na maua huanguka,
kwa sababu pumzi ya Bwana huyapuliza.
Hakika wanadamu ni majani.
8 cMajani hunyauka na maua huanguka,
lakini neno la Mungu wetu ladumu milele.”
Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.