‏ Matthew 24:45-47

Mfano Wa Mtumishi Mwaminifu

(Luka 12:41-48)

45 a “Ni nani basi aliye mtumishi mwaminifu na mwenye busara, ambaye bwana wake amemweka kusimamia watumishi wengine katika nyumba yake, ili awape chakula chao kwa wakati unaofaa? 46 bHeri mtumishi yule ambaye bwana wake atakaporudi atamkuta akifanya hivyo. 47 cAmin, nawaambia, atamweka mtumishi huyo kuwa msimamizi wa mali yake yote.
Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.