‏ Psalms 130:4-8

4 aLakini kwako kuna msamaha,
kwa hiyo wewe unaogopwa.

5 bNamngojea Bwana, nafsi yangu inangojea,
katika neno lake naweka tumaini langu.
6 cNafsi yangu inamngojea Bwana
kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi,
naam, kuliko walinzi
waingojeavyo asubuhi.

7 dEe Israeli, mtumaini Bwana,
maana kwa Bwana kuna upendo usiokoma,
na kwake kuna ukombozi kamili.
8 eYeye mwenyewe ataikomboa Israeli
kutoka dhambi zao zote.
Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.

Everyone uses cookies. We do too! Cookies are little bits of information stored on your computer which help us give you a better experience. You can find out more by reading the STEPBible cookie policy.